Eukeri wa Orleans

Kifo chake kinavyoonyeshwa katika dirisha la kioo cha rangi.

Eukeri wa Orleans (Orleans, leo nchini Ufaransa, 687 hivi - Sint-Truiden, leo nchini Ubelgiji, 743) alikuwa askofu wa mji huo wa Gaul (leo Ufaransa) kuanzia mwaka 721 hadi 733 hivi.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Februari[1].

  1. Martyrologium Romanum

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search